Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 37:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Mtumaini Yehova na kuishika njia yake,+

      Naye atakuinua uimiliki dunia.+

      Watu waovu watakapokatiliwa mbali, wewe utaona hilo.+

  • Zaburi 58:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mwadilifu atashangilia kwa sababu ameona kisasi.+

      Ataosha miguu yake katika damu ya mwovu.+

  • Zaburi 91:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Utatazama kwa macho yako tu+

      Na kuona malipo ya waovu.+

  • Ufunuo 18:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Furahini juu yake, enyi mbingu,+ pia ninyi watakatifu+ na ninyi mitume+ na ninyi manabii, kwa sababu Mungu amemtoza adhabu ya hukumu kwa ajili yenu!”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki