Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake,+

      Kwa maana atalipiza kisasi damu ya watumishi wake,+

      Naye atawalipa kisasi adui zake+

      Naye kwa kweli atafanya upatanisho kwa ajili ya nchi ya watu wake.”

  • Waroma 12:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Wapendwa, msijilipizie kisasi+ wenyewe bali iachieni nafasi ghadhabu;+ kwa maana imeandikwa: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa, asema Yehova.”+

  • Ufunuo 6:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nao wakalia kwa sauti kubwa, wakisema: “Utajizuia mpaka wakati gani, Bwana Mwenye Enzi Kuu+ mtakatifu na wa kweli,+ kuhukumu+ na kulipiza kisasi cha damu+ yetu juu ya wale wanaokaa duniani?”

  • Ufunuo 19:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 kwa sababu hukumu zake ni za kweli na za uadilifu.+ Kwa maana ametekeleza hukumu juu ya yule kahaba mkubwa aliyeiharibu dunia kwa uasherati wake, naye amelipiza kisasi damu ya watumwa wake mkononi mwake.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki