19 Pia, mama yake alikuwa akimfanyizia koti dogo lisilo na mikono, na kumletea mwaka baada ya mwaka alipopanda pamoja na mume wake ili kutoa dhabihu ya kila mwaka.+
39 Ndipo Petro akaondoka na kwenda pamoja nao. Naye alipofika, wakampeleka katika chumba cha juu; na wajane wote wakajitokeza kwake wakilia na kuonyesha mavazi mengi ya ndani na mavazi ya nje+ ambayo Dorkasi alikuwa akitengeneza alipokuwa pamoja nao.+