Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 91:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Kwa sababu ulisema: “Yehova ni kimbilio langu,”+

      Umemfanya Aliye Juu Zaidi awe makao yako;+

  • Methali 10:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Njia ya Yehova ni ngome kwa mtu asiye na lawama,+ lakini wale wanaozoea kutenda mambo yenye kuumiza wataharibiwa.+

  • Methali 14:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Katika kumwogopa Yehova kuna uhakika wenye nguvu,+ na wanawe watakuwa na kimbilio.+

  • Methali 28:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Mwovu hukimbia wakati hakuna anayemfuatilia,+ lakini waadilifu ni kama mwana-simba mwenye uhakika.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki