Kumbukumbu la Torati 32:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Laiti wangalikuwa wenye hekima!+ Ndipo wangalifikiria hili kwa uzito.+Wangaliufikiria mwisho wao baadaye.+ 2 Samweli 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na sasa upanga+ hautaondoka nyumbani mwako mpaka wakati usio na kipimo,+ kwa sababu ulinidharau mimi, ukamchukua mke wa Uria Mhiti, awe mke wako.’ Waroma 6:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi, ni tunda+ gani ambalo kwa kawaida mlikuwa nalo wakati huo? Mambo+ ambayo sasa mnayaonea aibu. Kwa maana mwisho wa mambo hayo ni kifo.+ Waebrania 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kiwe bila unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.+
29 Laiti wangalikuwa wenye hekima!+ Ndipo wangalifikiria hili kwa uzito.+Wangaliufikiria mwisho wao baadaye.+
10 Na sasa upanga+ hautaondoka nyumbani mwako mpaka wakati usio na kipimo,+ kwa sababu ulinidharau mimi, ukamchukua mke wa Uria Mhiti, awe mke wako.’
21 Basi, ni tunda+ gani ambalo kwa kawaida mlikuwa nalo wakati huo? Mambo+ ambayo sasa mnayaonea aibu. Kwa maana mwisho wa mambo hayo ni kifo.+
4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kiwe bila unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.+