Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Laiti wangalikuwa wenye hekima!+ Ndipo wangalifikiria hili kwa uzito.+

      Wangaliufikiria mwisho wao baadaye.+

  • 2 Samweli 12:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na sasa upanga+ hautaondoka nyumbani mwako mpaka wakati usio na kipimo,+ kwa sababu ulinidharau mimi, ukamchukua mke wa Uria Mhiti, awe mke wako.’

  • Waroma 6:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Basi, ni tunda+ gani ambalo kwa kawaida mlikuwa nalo wakati huo? Mambo+ ambayo sasa mnayaonea aibu. Kwa maana mwisho wa mambo hayo ni kifo.+

  • Waebrania 13:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kiwe bila unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki