Methali 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 ili huo ukukomboe kutoka kwa mwanamke, naam, kutoka kwa mwanamke mgeni+ ambaye amefanya maneno yake kuwa laini,+ Methali 7:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ghafula kijana huyo akamfuata,+ kama ng’ombe-dume anayeenda machinjoni, na kama mtu mpumbavu aliyefungwa pingu atiwe nidhamu, Methali 22:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kinywa cha wanawake wageni ni shimo refu.+ Anayeshutumiwa na Yehova ataanguka ndani yake.+ Methali 23:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kwa maana kahaba ni shimo refu+ na mwanamke mgeni ni kisima chembamba.
16 ili huo ukukomboe kutoka kwa mwanamke, naam, kutoka kwa mwanamke mgeni+ ambaye amefanya maneno yake kuwa laini,+
22 Ghafula kijana huyo akamfuata,+ kama ng’ombe-dume anayeenda machinjoni, na kama mtu mpumbavu aliyefungwa pingu atiwe nidhamu,