Methali 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Anayelima shamba lake yeye mwenyewe atashiba mkate,+ lakini anayefuatilia vitu visivyo na thamani amepungukiwa moyoni.+ Methali 27:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Anayeulinda mtini atakula matunda yake,+ naye anayemlinda bwana wake ataheshimiwa.+ 2 Wakorintho 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini kuhusu hili, yeye anayepanda kwa uhaba+ atavuna pia kwa uhaba; na yeye anayepanda kwa wingi+ atavuna pia kwa wingi.
11 Anayelima shamba lake yeye mwenyewe atashiba mkate,+ lakini anayefuatilia vitu visivyo na thamani amepungukiwa moyoni.+
6 Lakini kuhusu hili, yeye anayepanda kwa uhaba+ atavuna pia kwa uhaba; na yeye anayepanda kwa wingi+ atavuna pia kwa wingi.