18 Na itatukia kwamba atakapoketi kwenye kiti chake cha ufalme, atajiandikia katika kitabu nakala ya sheria hii kutoka katika ile iliyo mkononi mwa makuhani Walawi.+
28 Na Israeli wote wakasikia habari za uamuzi huo wa hukumu+ ambao mfalme alikuwa ametoa; nao wakaogopa kwa sababu ya mfalme,+ kwa maana waliona kwamba hekima+ ya Mungu ilikuwa ndani yake ili afanye uamuzi wa hukumu.