Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 17:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na itatukia kwamba atakapoketi kwenye kiti chake cha ufalme, atajiandikia katika kitabu nakala ya sheria hii kutoka katika ile iliyo mkononi mwa makuhani Walawi.+

  • 2 Samweli 23:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Roho ya Yehova ndiyo iliyosema kupitia mimi,+

      Na neno lake lilikuwa kwenye ulimi wangu.+

  • 1 Wafalme 3:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Na Israeli wote wakasikia habari za uamuzi huo wa hukumu+ ambao mfalme alikuwa ametoa; nao wakaogopa kwa sababu ya mfalme,+ kwa maana waliona kwamba hekima+ ya Mungu ilikuwa ndani yake ili afanye uamuzi wa hukumu.

  • Zaburi 72:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 72 Ee Mungu, umpe mfalme maamuzi yako ya hukumu,+

      Na uadilifu wako mwana wa mfalme.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki