14 Mtu yeyote mwenye hekima, macho yake yamo katika kichwa chake;+ lakini mjinga anaendelea kutembea katika giza tupu.+ Nami nimepata kujua, mimi pia, kwamba kuna mwisho mmoja ambao huwapata hao wote.+
8Ni nani aliye kama mwenye hekima?+ Na ni nani anayeweza kujua tafsiri ya jambo?+ Hekima ya mwanadamu huufanya uso wake ung’ae, na hata ukali wa uso wake ubadilike uwe afadhali.+