19 Nao wataanza kuliogopa jina la Yehova kutoka magharibi,+ na kutoka mashariki utukufu wake,+ kwa maana ataingia kama mto wenye kutaabisha, ambao roho ya Yehova imeuendesha.+
7 Ni nani ambaye hapaswi kukuogopa,+ Ee Mfalme wa mataifa,+ kwa maana inafaa kwako; kwa sababu kati ya wote wenye hekima wa mataifa na kati ya falme zao zote kwa vyovyote hakuna yeyote aliye kama wewe.+
4 Ni nani ambaye kwa kweli hatakuogopa wewe,+ Yehova,+ na kulitukuza jina lako,+ kwa sababu wewe peke yako ni mshikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako,+ kwa sababu amri zako za uadilifu zimefunuliwa.”+