Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 64:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Nao watu wote wa udongo wataogopa;+

      Nao watatangaza utendaji wa Mungu.+

      Nao hakika watakuwa na ufahamu katika kazi yake.+

  • Isaya 59:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nao wataanza kuliogopa jina la Yehova kutoka magharibi,+ na kutoka mashariki utukufu wake,+ kwa maana ataingia kama mto wenye kutaabisha, ambao roho ya Yehova imeuendesha.+

  • Yeremia 10:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ni nani ambaye hapaswi kukuogopa,+ Ee Mfalme wa mataifa,+ kwa maana inafaa kwako; kwa sababu kati ya wote wenye hekima wa mataifa na kati ya falme zao zote kwa vyovyote hakuna yeyote aliye kama wewe.+

  • Ufunuo 15:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ni nani ambaye kwa kweli hatakuogopa wewe,+ Yehova,+ na kulitukuza jina lako,+ kwa sababu wewe peke yako ni mshikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako,+ kwa sababu amri zako za uadilifu zimefunuliwa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki