Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 14:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hata katika kicheko moyo unaweza kuwa na maumivu;+ na kushangilia huishia katika huzuni.+

  • Isaya 5:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na kutakuwa na kinubi na kinanda, tari na filimbi, na divai katika karamu zao;+ lakini hawauangalii utendaji wa Yehova, wala hawakuiona kazi ya mikono yake.+

  • Mathayo 5:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Wenye furaha ni wale wanaoomboleza, kwa kuwa watafarijiwa.+

  • Yakobo 4:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Iweni na taabu na kuomboleza na kulia.+ Kicheko chenu na kigeuzwe kuwa maombolezo, na shangwe yenu kuwa huzuni.+

  • 1 Petro 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana wakati+ uliopita uliwatosha kufanya mapenzi ya mataifa+ wakati mlipotembea katika vitendo vya mwenendo mpotovu,+ uchu, divai kupita kiasi,+ karamu za kupindukia, mashindano ya kunywa, na ibada haramu za sanamu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki