Mhubiri 7:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Lile ambalo limekuja kuwako liko mbali sana na ni lenye kina kirefu sana. Ni nani anayeweza kulitambua?+ Mhubiri 11:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kama vile usivyoijua njia ya roho katika mifupa ndani ya tumbo lake mwenye mimba,+ vivyo hivyo hujui kazi ya Mungu wa kweli, anayefanya mambo yote.+ Danieli 12:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Naye akaniambia tena: “Nenda, Danieli, kwa sababu maneno hayo yamewekwa siri na kufungwa kwa muhuri mpaka wakati wa mwisho.+
24 Lile ambalo limekuja kuwako liko mbali sana na ni lenye kina kirefu sana. Ni nani anayeweza kulitambua?+
5 Kama vile usivyoijua njia ya roho katika mifupa ndani ya tumbo lake mwenye mimba,+ vivyo hivyo hujui kazi ya Mungu wa kweli, anayefanya mambo yote.+
9 Naye akaniambia tena: “Nenda, Danieli, kwa sababu maneno hayo yamewekwa siri na kufungwa kwa muhuri mpaka wakati wa mwisho.+