Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 11:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Je, unaweza kuvumbua mambo yenye kina ya Mungu,+

      Au, je, unaweza kuvumbua kikomo chenyewe cha Mweza-Yote?

  • Ayubu 26:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Tazama! Hizo ndizo kingo za njia zake,+

      Nao ni mnong’ono ulioje wa jambo lililosikiwa juu yake!

      Lakini kuhusu mngurumo wake wenye nguvu ni nani anayeweza kuonyesha uelewaji?”+

  • Zaburi 40:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Wewe mwenyewe umefanya mambo mengi,+

      Ee Yehova Mungu wangu, naam, kazi zako za ajabu na mawazo yako kutuelekea;+

      Hakuna wa kulinganishwa nawe.+

      Ikiwa ningetaka kueleza na kusema juu yake,

      Zimekuwa nyingi sana kuliko vile ninavyoweza kusimulia.+

  • Mhubiri 8:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nami nikaona kazi yote ya Mungu wa kweli,+ jinsi ambavyo wanadamu hawawezi kuvumbua kazi ambayo imefanywa chini ya jua;+ lakini hata wanadamu waendelee namna gani kufanya kazi kwa bidii kutafuta, bado hawagundui.+ Na hata wakisema kwamba wana hekima ya kutosha kuweza kujua,+ hawawezi kuvumbua.+

  • Waroma 11:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Lo! Jinsi kilivyo kina cha utajiri+ wa Mungu na hekima+ na ujuzi!+ Jinsi hukumu+ zake zisivyochunguzika na njia zake zisivyotafutika!

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki