Ayubu 11:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Je, unaweza kuvumbua mambo yenye kina ya Mungu,+Au, je, unaweza kuvumbua kikomo chenyewe cha Mweza-Yote? Mhubiri 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Amefanya kila kitu kiwe chenye kupendeza kwa wakati wake.+ Tena wakati usio na kipimo ameuweka ndani ya moyo wao,+ ili mwanadamu asiweze kugundua kazi ambazo Mungu wa kweli amefanya tangu mwanzo mpaka mwisho.+ Mhubiri 11:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kama vile usivyoijua njia ya roho katika mifupa ndani ya tumbo lake mwenye mimba,+ vivyo hivyo hujui kazi ya Mungu wa kweli, anayefanya mambo yote.+ Waroma 11:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Lo! Jinsi kilivyo kina cha utajiri+ wa Mungu na hekima+ na ujuzi!+ Jinsi hukumu+ zake zisivyochunguzika na njia zake zisivyotafutika!
7 Je, unaweza kuvumbua mambo yenye kina ya Mungu,+Au, je, unaweza kuvumbua kikomo chenyewe cha Mweza-Yote?
11 Amefanya kila kitu kiwe chenye kupendeza kwa wakati wake.+ Tena wakati usio na kipimo ameuweka ndani ya moyo wao,+ ili mwanadamu asiweze kugundua kazi ambazo Mungu wa kweli amefanya tangu mwanzo mpaka mwisho.+
5 Kama vile usivyoijua njia ya roho katika mifupa ndani ya tumbo lake mwenye mimba,+ vivyo hivyo hujui kazi ya Mungu wa kweli, anayefanya mambo yote.+
33 Lo! Jinsi kilivyo kina cha utajiri+ wa Mungu na hekima+ na ujuzi!+ Jinsi hukumu+ zake zisivyochunguzika na njia zake zisivyotafutika!