21 Naye Sauli akasema: “Nimetenda dhambi.+ Rudi, Daudi mwanangu, kwa maana sitakudhuru tena, kwa sababu ya ukweli wa kwamba nafsi yangu imekuwa na thamani+ machoni pako leo. Tazama! Nimetenda kipumbavu, nami nimekosea sana.”
12 Na kuhusu watu wangu, wagawa-kazi wao wanatenda vikali, na wanawake kwa kweli hutawala juu yao.+ Enyi watu wangu, wale wanaowaongoza wanawapoteza ninyi,+ nao wameivuruga njia ya mapito yenu.+