2 Laiti ningekuwa na mahali pa kukaa wasafiri+ katika nyika! Ndipo ningewaacha watu wangu na kwenda mbali nao, kwa maana wote ni wazinzi,+ kusanyiko kuu la wanaofanya hila;+
13 “Ninyi mmelima uovu.+ Nanyi mmevuna ukosefu wa uadilifu.+ Mmekula matunda ya udanganyifu,+ kwa maana mmetegemea njia yenu,+ katika wingi wa watu wenu wenye nguvu.+