3 Umelifanya hilo taifa kuwa na watu wengi;+ umefanya kuwe na shangwe kuu kwa ajili yake.+ Wameshangilia mbele zako kama kwa shangwe ya wakati wa mavuno,+ kama wale walio na shangwe wakati wanapogawana nyara.+
2 Mwangalieni Abrahamu+ baba yenu+ na Sara+ ambaye hatua kwa hatua aliwazaa ninyi kwa uchungu wa kuzaa mtoto. Kwa maana alikuwa mmoja nilipomwita,+ nami nikambariki na kumfanya kuwa wengi.+