Zaburi 30:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa sababu kuwa chini ya hasira yake ni kwa muda kidogo tu,+Kuwa chini ya nia yake njema ni kwa muda wote wa maisha.+Huenda kilio kikakaa wakati wa jioni,+ lakini asubuhi kuna vigelegele vya shangwe.+ Zaburi 103:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yeye hataendelea kutafuta makosa wakati wote,+Wala hataendelea kuweka kinyongo mpaka wakati usio na kipimo.+ Mika 7:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ni nani aliye Mungu kama wewe,+ anayesamehe kosa na kuuachilia ukosaji+ wa mabaki ya urithi wake?+ Hatashikilia hasira yake milele, kwa maana yeye hupendezwa na fadhili zenye upendo.+
5 Kwa sababu kuwa chini ya hasira yake ni kwa muda kidogo tu,+Kuwa chini ya nia yake njema ni kwa muda wote wa maisha.+Huenda kilio kikakaa wakati wa jioni,+ lakini asubuhi kuna vigelegele vya shangwe.+
9 Yeye hataendelea kutafuta makosa wakati wote,+Wala hataendelea kuweka kinyongo mpaka wakati usio na kipimo.+
18 Ni nani aliye Mungu kama wewe,+ anayesamehe kosa na kuuachilia ukosaji+ wa mabaki ya urithi wake?+ Hatashikilia hasira yake milele, kwa maana yeye hupendezwa na fadhili zenye upendo.+