1 Mambo ya Nyakati 29:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ee Yehova, ukuu+ ni wako na nguvu+ na uzuri+ na utukufu+ na heshima;+ kwa maana kila kitu mbinguni na duniani ni chako.+ Ufalme+ ni wako, Ee Yehova, Wewe unayejiinua kuwa kichwa juu ya wote.+ Zaburi 96:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Utukufu na fahari ziko mbele zake;+Nguvu na uzuri zipo katika patakatifu pake.+ Zaburi 119:120 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 120 Mwili wangu umetetemeka kwa sababu ya kukuhofu;+Nami nimeogopa kwa sababu ya maamuzi yako ya hukumu.+
11 Ee Yehova, ukuu+ ni wako na nguvu+ na uzuri+ na utukufu+ na heshima;+ kwa maana kila kitu mbinguni na duniani ni chako.+ Ufalme+ ni wako, Ee Yehova, Wewe unayejiinua kuwa kichwa juu ya wote.+
120 Mwili wangu umetetemeka kwa sababu ya kukuhofu;+Nami nimeogopa kwa sababu ya maamuzi yako ya hukumu.+