Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 46:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Mataifa yakawa na msukosuko,+ falme zikatikisika;

      Akavumisha sauti yake, dunia ikayeyuka.+

  • Zaburi 68:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 68 Mungu na asimame,+ adui zake na watawanyike,+

      Na wale wanaomchukia vikali na wakimbie kwa sababu yake.+

  • Isaya 17:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Vikundi vya taifa+ vitafanya kishindo kama kelele za maji mengi. Na Yeye atavikemea,+ navyo vitakimbia na kufukuzwa kama makapi ya milima mbele ya upepo na kama mgurumo wa mbaruti mbele ya upepo wa dhoruba.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki