Zaburi 46:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mataifa yakawa na msukosuko,+ falme zikatikisika;Akavumisha sauti yake, dunia ikayeyuka.+ Zaburi 68:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 68 Mungu na asimame,+ adui zake na watawanyike,+Na wale wanaomchukia vikali na wakimbie kwa sababu yake.+ Isaya 17:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Vikundi vya taifa+ vitafanya kishindo kama kelele za maji mengi. Na Yeye atavikemea,+ navyo vitakimbia na kufukuzwa kama makapi ya milima mbele ya upepo na kama mgurumo wa mbaruti mbele ya upepo wa dhoruba.+
68 Mungu na asimame,+ adui zake na watawanyike,+Na wale wanaomchukia vikali na wakimbie kwa sababu yake.+
13 Vikundi vya taifa+ vitafanya kishindo kama kelele za maji mengi. Na Yeye atavikemea,+ navyo vitakimbia na kufukuzwa kama makapi ya milima mbele ya upepo na kama mgurumo wa mbaruti mbele ya upepo wa dhoruba.+