Zaburi 113:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ni nani aliye kama Yehova Mungu wetu,+Yeye anayefanya makao yake juu?+ Zaburi 123:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 123 Nimekuinulia wewemacho yangu,+Ewe unayekaa mbinguni.+ Isaya 66:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 66 Yehova amesema hivi: “Mbingu ni kiti changu cha ufalme,+ na dunia ni kiti cha miguu yangu.+ Iko wapi, basi, nyumba ambayo ninyi mnaweza kunijengea,+ na pako wapi, basi, mahali pa kupumzika kwa ajili yangu?”+
66 Yehova amesema hivi: “Mbingu ni kiti changu cha ufalme,+ na dunia ni kiti cha miguu yangu.+ Iko wapi, basi, nyumba ambayo ninyi mnaweza kunijengea,+ na pako wapi, basi, mahali pa kupumzika kwa ajili yangu?”+