Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 7:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Tazama! Kuna mtu aliye na mimba ya jambo lenye kuumiza,+

      Naye amechukua mimba ya taabu na hatakosa kuzaa uwongo.+

  • Isaya 17:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Vikundi vya taifa+ vitafanya kishindo kama kelele za maji mengi. Na Yeye atavikemea,+ navyo vitakimbia na kufukuzwa kama makapi ya milima mbele ya upepo na kama mgurumo wa mbaruti mbele ya upepo wa dhoruba.+

  • Malaki 4:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Kwa maana, tazama! siku ile inakuja ambayo inawaka kama tanuru,+ na wote wenye kimbelembele na wote wanaotenda uovu watakuwa kama majani makavu.+ Na siku hiyo inayokuja itawateketeza,” Yehova wa majeshi amesema, “hivi kwamba haitawaachia wao mzizi wala tawi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki