4 Kwa kweli mlikuwa mkifunga kwa kusudi la kugombana na kupambana,+ na kwa kusudi la kupiga kwa ngumi ya uovu.+ Je, hamkuendelea kufunga kama katika siku ile ya kufanya sauti yenu isikike kileleni?
6 “Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu ya maasi matatu ya Israeli,+ na kwa sababu ya manne, sitaizuia, kwa sababu waliuza mtu mwadilifu kwa sababu tu ya fedha, na maskini kwa bei ya pea moja ya viatu.+