2 Wafalme 20:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Rudi, umwambie Hezekia kiongozi+ wa watu wangu, ‘Yehova, Mungu+ wa Daudi babu yako, amesema hivi: “Nimeisikia+ sala+ yako. Nimeyaona machozi+ yako. Tazama, ninakuponya.+ Siku ya tatu utapanda kwenda katika nyumba ya Yehova.+ Zaburi 84:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nafsi yangu imetamani sana na pia imedhoofika kwa kutamani nyua za Yehova.+Moyo wangu mwenyewe na mwili wangu wenyewe humpigia Mungu aliye hai vigelegele kwa shangwe.+
5 “Rudi, umwambie Hezekia kiongozi+ wa watu wangu, ‘Yehova, Mungu+ wa Daudi babu yako, amesema hivi: “Nimeisikia+ sala+ yako. Nimeyaona machozi+ yako. Tazama, ninakuponya.+ Siku ya tatu utapanda kwenda katika nyumba ya Yehova.+
2 Nafsi yangu imetamani sana na pia imedhoofika kwa kutamani nyua za Yehova.+Moyo wangu mwenyewe na mwili wangu wenyewe humpigia Mungu aliye hai vigelegele kwa shangwe.+