Isaya 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Fanya moyo wa watu hawa kuwa mgumu,+ na uyafanye masikio yao kuwa magumu,+ na ushikanishe macho yao pamoja, ili wasione kwa macho yao na kwa masikio yao wasisikie, na ili moyo wao usielewe na ili kwa kweli wasigeuke na kujiponya.”+ Isaya 29:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na katika siku hiyo viziwi hakika watasikia maneno ya kitabu,+ na kutoka katika mahali penye weusi na kutoka katika giza macho ya vipofu yataona.+ Isaya 43:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Leteni kikundi cha watu ambao ni vipofu ingawa macho yapo, na walio viziwi ingawa wana masikio.+
10 Fanya moyo wa watu hawa kuwa mgumu,+ na uyafanye masikio yao kuwa magumu,+ na ushikanishe macho yao pamoja, ili wasione kwa macho yao na kwa masikio yao wasisikie, na ili moyo wao usielewe na ili kwa kweli wasigeuke na kujiponya.”+
18 Na katika siku hiyo viziwi hakika watasikia maneno ya kitabu,+ na kutoka katika mahali penye weusi na kutoka katika giza macho ya vipofu yataona.+