Kumbukumbu la Torati 32:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Laiti wangalikuwa wenye hekima!+ Ndipo wangalifikiria hili kwa uzito.+Wangaliufikiria mwisho wao baadaye.+ Methali 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mwanangu, ikiwa utapokea maneno yangu+ na kujiwekea amri zangu kama hazina,+ Isaya 44:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hawajajua,+ wala hawaelewi,+ kwa sababu macho yao yamechafuliwa ili yasione,+ moyo wao ili usiwe na ufahamu.+ Hagai 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na sasa, hivi ndivyo Yehova wa majeshi amesema, ‘Wekeni moyo wenu juu ya njia zenu.+
29 Laiti wangalikuwa wenye hekima!+ Ndipo wangalifikiria hili kwa uzito.+Wangaliufikiria mwisho wao baadaye.+
18 Hawajajua,+ wala hawaelewi,+ kwa sababu macho yao yamechafuliwa ili yasione,+ moyo wao ili usiwe na ufahamu.+