1 Samweli 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wale wanaoshindana na Yehova wataingiwa na woga;+Atanguruma juu yao kutoka mbinguni.+Yehova mwenyewe ataihukumu miisho ya dunia,+Ili ampe mfalme wake nguvu,+Ili ainue pembe ya mtiwa-mafuta wake.”+ Isaya 34:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana Yehova ana hasira juu ya mataifa yote,+ na ghadhabu juu ya jeshi lao lote.+ Yeye atawaangamiza; atawatoa wauawe.+ Mika 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na adui yangu ataona, aibu itamfunika,+ yeye aliyekuwa akiniambia: “Yuko wapi, Yehova Mungu wako?”+ Macho yangu mwenyewe yatamtazama huyo mwanamke.+ Sasa atakuwa mahali pa kukanyaga-kanyaga, kama matope ya barabarani.+
10 Wale wanaoshindana na Yehova wataingiwa na woga;+Atanguruma juu yao kutoka mbinguni.+Yehova mwenyewe ataihukumu miisho ya dunia,+Ili ampe mfalme wake nguvu,+Ili ainue pembe ya mtiwa-mafuta wake.”+
2 Kwa maana Yehova ana hasira juu ya mataifa yote,+ na ghadhabu juu ya jeshi lao lote.+ Yeye atawaangamiza; atawatoa wauawe.+
10 Na adui yangu ataona, aibu itamfunika,+ yeye aliyekuwa akiniambia: “Yuko wapi, Yehova Mungu wako?”+ Macho yangu mwenyewe yatamtazama huyo mwanamke.+ Sasa atakuwa mahali pa kukanyaga-kanyaga, kama matope ya barabarani.+