Zaburi 74:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ee Mungu, mpinzani ataendelea kushutumu mpaka wakati gani?+Je, adui ataendelea kulidharau jina lako milele?+ Zaburi 83:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 83 Ee Mungu, usinyamaze;+Usikae bila kusema, wala kukaa kimya, Ee Mungu.+ Isaya 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana Yehova atamwonyesha Yakobo+ rehema, naye bado hakika atachagua Israeli;+ na kwa kweli atawapa pumziko juu ya udongo wao,+ na mkaaji mgeni ataungana nao, nao watajiunga na nyumba ya Yakobo.+
10 Ee Mungu, mpinzani ataendelea kushutumu mpaka wakati gani?+Je, adui ataendelea kulidharau jina lako milele?+
14 Kwa maana Yehova atamwonyesha Yakobo+ rehema, naye bado hakika atachagua Israeli;+ na kwa kweli atawapa pumziko juu ya udongo wao,+ na mkaaji mgeni ataungana nao, nao watajiunga na nyumba ya Yakobo.+