Mambo ya Walawi 26:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Nami nitalikumbuka agano langu pamoja na Yakobo;+ na hata agano langu pamoja na Isaka+ na hata agano langu pamoja na Abrahamu+ nitalikumbuka, nayo nchi nitaikumbuka. Kumbukumbu la Torati 4:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kwa maana Yehova Mungu wako ni Mungu mwenye rehema.+ Hatakutupa wala kukuharibu wala kulisahau agano+ la mababu zako ambalo aliwaapia. Zaburi 98:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Amezikumbuka fadhili zake zenye upendo na uaminifu wake kwa nyumba ya Israeli.+Miisho yote ya dunia imeuona wokovu wa Mungu wetu.+
42 Nami nitalikumbuka agano langu pamoja na Yakobo;+ na hata agano langu pamoja na Isaka+ na hata agano langu pamoja na Abrahamu+ nitalikumbuka, nayo nchi nitaikumbuka.
31 Kwa maana Yehova Mungu wako ni Mungu mwenye rehema.+ Hatakutupa wala kukuharibu wala kulisahau agano+ la mababu zako ambalo aliwaapia.
3 Amezikumbuka fadhili zake zenye upendo na uaminifu wake kwa nyumba ya Israeli.+Miisho yote ya dunia imeuona wokovu wa Mungu wetu.+