Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 2:58
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 58 Wanethini+ wote na wana wa watumishi wa Sulemani walikuwa 392.+

  • Nehemia 11:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na Wanethini+ walikuwa wakikaa katika Ofeli;+ na Siha na Gishpa walikuwa juu ya Wanethini.

  • Esta 8:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na katika wilaya zote mbalimbali za utawala na katika majiji yote mbalimbali ambako neno la mfalme na sheria yake ilifika kulikuwa na shangwe na furaha kwa Wayahudi, karamu+ na siku njema; na watu wengi+ wa nchi wakawa wanajitangaza wenyewe kuwa Wayahudi,+ maana hofu+ ya Wayahudi ilikuwa imewashika.

  • Isaya 56:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Na wageni ambao wamejiunga na Yehova ili kumhudumia+ na kulipenda jina la Yehova,+ ili kuwa watumishi wake, wale wote wanaoishika sabato ili wasiitie unajisi na kulishika agano langu,+

  • Isaya 60:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na hakika mataifa yataenda kwenye nuru yako,+ na wafalme+ kwenye mwangaza wa mwanga wako.+

  • Zekaria 8:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na vikundi vingi vya watu na mataifa yenye nguvu watakuja kumtafuta Yehova wa majeshi katika Yerusalemu+ na kuutuliza uso wa Yehova.’

  • Zekaria 8:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 “Yehova wa majeshi asema hivi, ‘Na itakuwa katika siku hizo kwamba watu kumi kutoka katika lugha zote za mataifa+ watashika,+ ndiyo, wataushika upindo wa nguo ya mtu aliye Myahudi,+ wakisema: “Tutakwenda pamoja nanyi,+ kwa maana tumesikia ya kuwa Mungu yupo pamoja nanyi.” ’ ”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki