7 Ili kuhakikisha jambo la kila namna, hii ndiyo iliyokuwa desturi ya nyakati za zamani katika Israeli kuhusu haki ya kukomboa na kuhusu mabadilishano: Mwanamume alipaswa kuvua kiatu+ chake na kumpa mwenzake, na huo ndio uliokuwa ushuhuda katika Israeli.
4 “Na wewe, Ee Danieli, yafanye siri maneno hayo na kukifunga kitabu kwa muhuri,+ mpaka wakati wa mwisho.+ Wengi watakwenda huku na huku, na ujuzi wa kweli utakuwa mwingi.”+
5Nami nikaona katika mkono wa kuume wa Yule aliyeketi juu ya kile kiti cha ufalme+ kitabu cha kukunjwa kilichoandikwa ndani na upande wa nyuma,+ kimefungwa+ kabisa kwa mihuri saba.