Mwanzo 41:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ikawa kwamba asubuhi, roho yake ikafadhaika.+ Basi akawaita makuhani wote wenye kufanya uchawi wa Misri+ na watu wake wote wenye hekima,+ naye Farao akawasimulia ndoto zake.+ Lakini hakukuwa na yeyote aliyeweza kumtafsiria Farao ndoto hizo. 1 Wafalme 4:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Na hekima ya Sulemani ilikuwa pana+ zaidi kuliko hekima ya watu wengine wote wa Mashariki+ na kuliko hekima yote ya Misri.+ Mhubiri 7:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Mambo yote haya nimeyajaribu kwa hekima. Nilisema: “Nitakuwa na hekima.” Lakini ilikuwa mbali nami.+ Matendo 7:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa sababu hiyo Musa akafundishwa hekima+ yote ya Wamisri. Kwa kweli, yeye alikuwa mwenye nguvu katika maneno+ na matendo.
8 Ikawa kwamba asubuhi, roho yake ikafadhaika.+ Basi akawaita makuhani wote wenye kufanya uchawi wa Misri+ na watu wake wote wenye hekima,+ naye Farao akawasimulia ndoto zake.+ Lakini hakukuwa na yeyote aliyeweza kumtafsiria Farao ndoto hizo.
30 Na hekima ya Sulemani ilikuwa pana+ zaidi kuliko hekima ya watu wengine wote wa Mashariki+ na kuliko hekima yote ya Misri.+
23 Mambo yote haya nimeyajaribu kwa hekima. Nilisema: “Nitakuwa na hekima.” Lakini ilikuwa mbali nami.+
22 Kwa sababu hiyo Musa akafundishwa hekima+ yote ya Wamisri. Kwa kweli, yeye alikuwa mwenye nguvu katika maneno+ na matendo.