Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 41:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ikawa kwamba asubuhi, roho yake ikafadhaika.+ Basi akawaita makuhani wote wenye kufanya uchawi wa Misri+ na watu wake wote wenye hekima,+ naye Farao akawasimulia ndoto zake.+ Lakini hakukuwa na yeyote aliyeweza kumtafsiria Farao ndoto hizo.

  • 1 Wafalme 4:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Na hekima ya Sulemani ilikuwa pana+ zaidi kuliko hekima ya watu wengine wote wa Mashariki+ na kuliko hekima yote ya Misri.+

  • Mhubiri 7:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Mambo yote haya nimeyajaribu kwa hekima. Nilisema: “Nitakuwa na hekima.” Lakini ilikuwa mbali nami.+

  • Matendo 7:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa sababu hiyo Musa akafundishwa hekima+ yote ya Wamisri. Kwa kweli, yeye alikuwa mwenye nguvu katika maneno+ na matendo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki