Kumbukumbu la Torati 29:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “Mambo yaliyofichwa+ ni ya Yehova Mungu wetu, bali mambo yaliyofunuliwa+ ni yetu na wana wetu mpaka wakati usio na kipimo, ili tupate kuyatimiza maneno yote ya sheria hii.+ Ayubu 28:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini hekima—inaweza kupatikana wapi,+Na sasa, pako wapi mahali pa uelewaji? Zaburi 119:114 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 114 Wewe ni mahali pangu pa kujificha na ngao yangu.+Kwa maana nimelingojea neno lako.+
29 “Mambo yaliyofichwa+ ni ya Yehova Mungu wetu, bali mambo yaliyofunuliwa+ ni yetu na wana wetu mpaka wakati usio na kipimo, ili tupate kuyatimiza maneno yote ya sheria hii.+