Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 12:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nami nitawabariki wale wanaokubariki, na yule anayekulaani nitamlaani,+ na familia zote za nchi zitajibariki kupitia kwako.”+

  • Ezekieli 34:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Nami nitawafanya wao na mazingira ya kilima changu kuwa baraka,+ nami nitaifanya mvua inayomwagika ishuke kwa wakati wake. Kutakuwa na mvua inayomwagika ya baraka.+

  • Zekaria 8:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na itakuwa kwamba kama vile mlivyokuwa laana katikati ya mataifa,+ enyi nyumba ya Yuda na nyumba ya Israeli,+ ndivyo nitakavyowaokoa, nanyi mtakuwa baraka.+ Msiogope.+ Mikono yenu na iwe na nguvu.’+

  • Wagalatia 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kusudi lilikuwa kwamba baraka ya Abrahamu ije kupitia Yesu Kristo kwa ajili ya mataifa,+ ili tuipokee roho iliyoahidiwa+ kupitia imani yetu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki