9 Na uzao wao kwa kweli utajulikana katika mataifa, na wazao wao katikati ya vikundi vya watu.+ Wale wote wanaowaona watawatambua,+ kwamba wao ni uzao ambao Yehova amebariki.”+
8 Yehova amesema hivi: “Kama vile divai mpya+ inavyopatikana katika kishada na mtu husema, ‘Usikiharibu,+ kwa sababu baraka imo ndani yake,’+ ndivyo nitakavyofanya kwa ajili ya watumishi wangu ili nisimharibu kila mtu.+