Isaya 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 mwanamume mwenye nguvu na shujaa wa vita, mwamuzi na nabii,+ na mwaguzi na mwanamume mzee,+ Isaya 9:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na Yehova atakatilia mbali kutoka katika Israeli kichwa+ na mkia,+ chipukizi na kitete, katika siku moja.+ Ezekieli 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lazima wakati uje, siku ile lazima ifike. Mnunuzi na ashangilie;+ naye muuzaji asianze kuomboleza, kwa maana kuna hasira juu ya umati wake wote. Hosea 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Na itakuwa kwa watu kama vile itakavyokuwa kwa kuhani;+ nami hakika nitawatoza hesabu kwa sababu ya njia zao;+ nami nitarudisha matendo yao juu yao.+
14 Na Yehova atakatilia mbali kutoka katika Israeli kichwa+ na mkia,+ chipukizi na kitete, katika siku moja.+
12 Lazima wakati uje, siku ile lazima ifike. Mnunuzi na ashangilie;+ naye muuzaji asianze kuomboleza, kwa maana kuna hasira juu ya umati wake wote.
9 “Na itakuwa kwa watu kama vile itakavyokuwa kwa kuhani;+ nami hakika nitawatoza hesabu kwa sababu ya njia zao;+ nami nitarudisha matendo yao juu yao.+