Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Yehova atakupiga kwa kifua kikuu+ na homa kali na mchonyoto na joto la homa na upanga+ na kuunguza+ na ukungu,+ navyo vitakufuatilia mpaka utakapokuwa umeangamia.

  • Yeremia 32:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Tazama! Watu wamekuja na maboma ya kuzingira+ kwenye jiji ili kuliteka,+ na jiji hili hakika litatiwa mkononi mwa Wakaldayo wanaopiga vita juu yake,+ kwa sababu ya upanga+ na njaa+ na tauni;+ na lile ulilosema limetendeka, na, tazama, wewe unaliona.+

  • Ezekieli 7:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Upanga+ uko nje, na tauni na njaa zimo ndani.+ Yeyote aliye uwanjani, atakufa kwa upanga, na wowote walio jijini, njaa na tauni zitawameza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki