Hesabu 10:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kwa hiyo wakapiga mwendo kutoka mlima wa Yehova+ safari ya siku tatu, nalo sanduku la agano+ la Yehova lilikuwa likipiga mwendo mbele yao kwa safari ya siku tatu ili kutafuta mahali pa kupumzika kwa ajili yao.+ Zaburi 95:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ambao niliapa juu yao kwa hasira yangu:+“Hawataingia katika mahali pangu pa kupumzikia.”+ Isaya 63:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kama vile mnyama anavyoteremka ndani ya nchi tambarare ya bondeni, ndivyo roho ya Yehova ilivyowapumzisha.”+ Hivyo uliwaongoza watu wako ili ujifanyie mwenyewe jina zuri.+ Waebrania 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana kama Yoshua+ angekuwa amewaingiza katika mahali pa pumziko,+ Mungu hangesema+ baadaye juu ya siku nyingine.
33 Kwa hiyo wakapiga mwendo kutoka mlima wa Yehova+ safari ya siku tatu, nalo sanduku la agano+ la Yehova lilikuwa likipiga mwendo mbele yao kwa safari ya siku tatu ili kutafuta mahali pa kupumzika kwa ajili yao.+
14 Kama vile mnyama anavyoteremka ndani ya nchi tambarare ya bondeni, ndivyo roho ya Yehova ilivyowapumzisha.”+ Hivyo uliwaongoza watu wako ili ujifanyie mwenyewe jina zuri.+
8 Kwa maana kama Yoshua+ angekuwa amewaingiza katika mahali pa pumziko,+ Mungu hangesema+ baadaye juu ya siku nyingine.