Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 10:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Kwa hiyo wakapiga mwendo kutoka mlima wa Yehova+ safari ya siku tatu, nalo sanduku la agano+ la Yehova lilikuwa likipiga mwendo mbele yao kwa safari ya siku tatu ili kutafuta mahali pa kupumzika kwa ajili yao.+

  • Zaburi 95:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ambao niliapa juu yao kwa hasira yangu:+

      “Hawataingia katika mahali pangu pa kupumzikia.”+

  • Isaya 63:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kama vile mnyama anavyoteremka ndani ya nchi tambarare ya bondeni, ndivyo roho ya Yehova ilivyowapumzisha.”+

      Hivyo uliwaongoza watu wako ili ujifanyie mwenyewe jina zuri.+

  • Waebrania 4:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa maana kama Yoshua+ angekuwa amewaingiza katika mahali pa pumziko,+ Mungu hangesema+ baadaye juu ya siku nyingine.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki