Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na hawa ndio wana wa wilaya ya utawala+ waliotoka utekwani mwa wale waliohamishwa,+ ambao Nebukadneza mfalme wa Babiloni alikuwa amewapeleka uhamishoni+ katika Babiloni na ambao baadaye walirudi+ Yerusalemu na Yuda,+ kila mmoja kwenye jiji lake mwenyewe;

  • Ezra 2:70
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 70 Na makuhani na Walawi na wengine kati ya watu,+ na waimbaji na watunza-malango na Wanethini wakaanza kukaa katika majiji yao, na Israeli wote katika majiji yao.+

  • Yeremia 33:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nami nitawarudisha mateka wa Yuda na mateka wa Israeli,+ nami nitawajenga kama pale mwanzoni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki