Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 5:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Laiti wangaliusitawisha moyo wao huu uniogope+ na kushika amri zangu zote sikuzote,+ ili mambo yawaendee vema, wao na wana wao mpaka wakati usio na kipimo!+

  • Yeremia 6:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Urekebishwe,+ Ee Yerusalemu, ili nafsi yangu isije ikaondoka kwako ikiwa imechukizwa;+ ili nisije nikakuweka uwe mahame yenye ukiwa, nchi isiyokaliwa.”+

  • Yeremia 7:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi: “Fanyeni njia zenu na matendo yenu kuwa mema, nami nitaendelea kuwakalisha mahali hapa.+

  • Yeremia 9:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Ni mwanadamu yupi ambaye ana hekima, ili aelewe jambo hili, yule ambaye kinywa cha Yehova kimesema naye, ili aseme jambo hili?+ Kwa nini nchi iangamie, kwa kweli iteketezwe kama nyika bila yeyote wa kupita katikati?”+

  • Yeremia 32:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Nao wakaendelea kunipa mimi mgongo wala si uso;+ ingawa walikuwa wakifundishwa, kuamka mapema na kuwafundisha, lakini hakuna hata mmoja wao aliyesikiliza ili kupokea nidhamu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki