Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 25:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 wao wakisema, ‘Tafadhali, geukeni kila mmoja kutoka katika njia yake mbaya na kutoka katika ubaya wa matendo yake,+ nanyi mwendelee kukaa juu ya nchi ambayo Yehova aliwapa ninyi na mababu zenu tangu zamani za kale na mpaka wakati mrefu ujao.+

  • Yona 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nao wajifunike nguo za magunia, mwanadamu na mnyama wa kufugwa; na wamwite Mungu kwa nguvu na warudi,+ kila mmoja kutoka katika njia yake mbaya na kutoka katika jeuri iliyokuwa mikononi mwao.

  • Zekaria 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “ ‘Msiwe kama baba zenu+ ambao manabii wa kale waliwaita,+ wakisema: “Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Tafadhali, rudini mwache njia zenu mbaya na mwache matendo yenu mabaya.’ ” ’+

      “ ‘Lakini hawakusikiliza, wala hawakunitegea sikio,’+ asema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki