2 Wafalme 22:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Basi Hilkia kuhani na Ahikamu na Akbori na Shafani na Asaya wakaenda kwa Hulda nabii,+ mke wa Shalumu mwana wa Tikva mwana wa Harhasi, mtunzaji wa mavazi,+ kwa kuwa alikuwa akikaa katika Yerusalemu katika eneo la pili; nao wakaanza kusema naye.+ Yeremia 26:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Lakini Mfalme Yehoyakimu akatuma watu Misri, Elnathani mwana wa Akbori+ na watu wengine pamoja naye mpaka Misri.
14 Basi Hilkia kuhani na Ahikamu na Akbori na Shafani na Asaya wakaenda kwa Hulda nabii,+ mke wa Shalumu mwana wa Tikva mwana wa Harhasi, mtunzaji wa mavazi,+ kwa kuwa alikuwa akikaa katika Yerusalemu katika eneo la pili; nao wakaanza kusema naye.+
22 Lakini Mfalme Yehoyakimu akatuma watu Misri, Elnathani mwana wa Akbori+ na watu wengine pamoja naye mpaka Misri.