15 Na wakuu+ wakaanza kumkasirikia Yeremia,+ nao wakampiga+ na kumtia katika nyumba ya pingu,+ katika nyumba ya Yehonathani+ mwandishi, kwa maana walikuwa wameifanya hiyo kuwa kizuizi.+
20 Na sasa, sikiliza, tafadhali, Ee bwana wangu mfalme. Tafadhali, ombi langu la kibali+ na lifike mbele yako, nawe usinirudishe katika nyumba ya Yehonathani+ mwandishi, nisije nikafa humo.”+