40Neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Yehova baada ya Nebuzaradani+ mkuu wa walinzi kumtoa katika Rama,+ alipomchukua huku akiwa amefungwa kwa pingu za mkononi katikati ya wahamishwa wote wa Yerusalemu na wa Yuda, ambao walikuwa wakipelekwa uhamishoni katika Babiloni.+
12 Na katika mwezi wa tano, siku ya kumi ya mwezi huo, yaani, katika mwaka wa kumi na tisa wa Mfalme Nebukadreza,+ mfalme wa Babiloni, Nebuzaradani+ mkuu wa walinzi, aliyekuwa akisimama mbele ya mfalme wa Babiloni, aliingia ndani ya Yerusalemu.