29 Zaidi ya hayo, wakaita jiji hilo jina Dani kulingana na jina la baba yao, Dani,+ aliyezaliwa kwa Israeli.+ Hata hivyo, jina la jiji hilo hapo zamani lilikuwa Laishi.+
20Basi wana wote wa Israeli wakatoka,+ na kusanyiko likakutanika kama mtu mmoja,+ kutoka Dani+ mpaka Beer-sheba+ pamoja na nchi ya Gileadi,+ likamkutanikia Yehova katika Mispa.+
16 Kukoroma kwa farasi zake kumesikiwa kutoka Dani.+ Kutokana na sauti ya kulia kwa farasi-dume zake nchi nzima imeanza kutikisika.+ Nao wanaingia na kuila nchi na vyote vilivyomo, jiji na wakaaji wake.”