Zaburi 46:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova wa majeshi yuko pamoja nasi;+Mungu wa Yakobo ni kilele chetu salama.+ Sela Zaburi 68:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwetu, Mungu wa kweli ni Mungu wa matendo ya kuokoa;+Nazo njia za kutoka katika kifo+ ni za Yehova Bwana Mwenye Enzi Kuu.+ Isaya 43:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Usiogope, kwa maana nipo pamoja nawe.+ Kutoka mashariki nitauleta uzao wako, nami nitakukusanya pamoja kutoka magharibi.+ Waroma 8:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+
20 Kwetu, Mungu wa kweli ni Mungu wa matendo ya kuokoa;+Nazo njia za kutoka katika kifo+ ni za Yehova Bwana Mwenye Enzi Kuu.+
5 “Usiogope, kwa maana nipo pamoja nawe.+ Kutoka mashariki nitauleta uzao wako, nami nitakukusanya pamoja kutoka magharibi.+
31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+