9 Yeye anayeketi tuli katika jiji hili atakufa kwa upanga na kwa njaa na kwa tauni;+ lakini yeye anayetoka nje na ambaye kwa kweli anajitia mkononi mwa Wakaldayo wanaowazingira ninyi ataendelea kuishi, na nafsi yake hakika itakuwa kama nyara kwake.”’+
11 Naye ataingia na kuipiga nchi ya Misri.+ Yeyote aliyekusudiwa mapigo yenye kufisha atapigwa kwa mapigo yenye kufisha, na yeyote aliyekusudiwa kwenda utekwani ataenda utekwani, na yeyote aliyekusudiwa upanga atapigwa kwa upanga.+