Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa maana ‘tazama, ninaziita familia zote za falme za kaskazini,’ asema Yehova;+ ‘nao hakika watakuja na kuweka kila mmoja kiti chake cha ufalme kwenye mwingilio wa malango ya Yerusalemu,+ na juu ya kuta zake zote kuzunguka pande zote na juu ya majiji yote ya Yuda.+

  • Yeremia 47:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Yehova amesema hivi:

      “Tazama! Maji yanakuja+ kutoka kaskazini+ nayo yamekuwa mto unaofurika. Nayo yataifurikisha nchi na vyote vilivyomo, jiji na wale wanaokaa humo.+ Na hakika watu watalia, na kila mtu anayekaa katika nchi atapiga mayowe.+

  • Ezekieli 30:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Nitaufanya pia umati wa Misri ukome kwa mkono wa Nebukadreza mfalme wa Babiloni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki