14 Na sasa Yehova amesema hivi: “Katika muda wa miaka mitatu, kulingana na miaka ya mfanyakazi wa kukodiwa,+ utukufu+ wa Moabu utafedheheshwa pia kwa fujo nyingi za kila aina, na wale watakaobaki watakuwa wachache mno, wasio na nguvu.”+
28 Kwa hiyo waambie, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “ ‘Hakutakuwa na kucheleweshwa tena kwa yoyote ya maneno yangu.+ Neno nitakalosema, litafanywa,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.” ’ ”+