Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Kisasi ni changu, na malipo.+

      Katika wakati uliowekwa mguu wao utasogea kwa kuyumba-yumba,+

      Kwa maana siku ya maafa yao iko karibu,+

      Na matukio yanafanya haraka kujitayarisha kwa ajili yao.’+

  • Isaya 16:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na sasa Yehova amesema hivi: “Katika muda wa miaka mitatu, kulingana na miaka ya mfanyakazi wa kukodiwa,+ utukufu+ wa Moabu utafedheheshwa pia kwa fujo nyingi za kila aina, na wale watakaobaki watakuwa wachache mno, wasio na nguvu.”+

  • Ezekieli 12:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kwa hiyo waambie, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “ ‘Hakutakuwa na kucheleweshwa tena kwa yoyote ya maneno yangu.+ Neno nitakalosema, litafanywa,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.” ’ ”+

  • Ezekieli 25:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nami nitafanya matendo ya hukumu katika Moabu;+ nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki