Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Na hata hivyo pamoja na yote hayo, huku wakiendelea kukaa katika nchi ya adui zao, hakika sitawakataa+ wala kuwachukia+ ili kuwaangamiza, na kulivunja agano+ langu pamoja nao; kwa maana mimi ni Yehova Mungu wao.

  • Yeremia 46:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Nawe usiogope, Ee mtumishi wangu Yakobo,’ asema Yehova, ‘kwa maana mimi niko pamoja nawe.+ Kwa maana nitafanya maangamizi kati ya mataifa yote ambako nimekutawanya huko,+ lakini wewe sitakuangamiza.+ Hata hivyo, nitakutia adabu kwa kiwango kinachofaa,+ nami sitakuacha kamwe bila kukuadhibu.’”+

  • Amosi 9:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “ ‘Tazama! Macho ya Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova yako juu ya ufalme wenye dhambi,+ naye atauangamiza kutoka juu ya uso wa nchi.+ Hata hivyo, sitaiangamiza kabisa nyumba ya Yakobo,’+ asema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki